Chama cha Wapasha habari Wanawake AFEM Sud-kivu kinaomba wa vyombo vya habari kuunga mkono wagombea wanawake katika uchaguzi. Muundo huu unataja hasa zaidi readio ya taifa RTNC.Ombi lililotolewa wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Bukavu siku ya sita kuhusu nafasi ya wanawake wakati wa uchaguzi nchini Kongo ya kedemokratia. Caddy Adzuba, kiongozi wa AFEM Sud-Kivu ndiye mwalikwa wetu . Anazungumza na Jean Kasami./sites/default/files/2023-10/inviteeswahili.mp3
Leave feedback about this