juillet 27, 2024
Chicago 12, Melborne City, USA
Politique actualité Sport Mondial

Alain Mugangu : Mvua ndiyo inasababisha kazi za kukarabati barabara zinaenda polepole


Katika Kivu Kusini, barabara zote za kitaifa ziko katika hali ya juu sana ya ubovu. Jiji la Bukavu linajikuta limetengwa kufuatana na kutopitika kwa barabara zinazounganisha jiji hilo na maeneo mengine. Je, kampuni ya serikali, Ofisi ya Barabara, ambayo inashughulikia kazi za barabara inafanyaje katika kukabiliana na changamoto nyingi za miundombinu.
Injenia Alain Mugangu, mkurugenzi wake wa muda wa mkoa, anazungumza na Jean Kasami.

/sites/default/files/2024-02/140224-p-s-invitebukavualainmugangu-00-web_0.mp3
 



Source link

Leave feedback about this

  • Quality
  • Price
  • Service

PROS

+
Add Field

CONS

+
Add Field
Choose Image